Mjue Msanii Mkazuzu wa Kitaa
Mkazuzu ni msanii wa kibongo anaishi hapa ukerewe mjini Kusoma ambae anakuja juu. Hi ni Single yake ya pili inaitwa Hustle akimshirikisha msanii Mrembo Ordaine.
Ngoma hii imetengenezwa ndani ya studio za urban pulse na produzya mkali Young Josh ikiwa ni mojawapo ya soundtrack ya Movie ya £ovely Gamble.
Monday 12 July 2010
HUSTLE by Mkazuzu Ft Ordaine
Posted by Ally Muhdin at 01:30
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment