Ningependa kuwapatia watanzania wote fursa ya kujua mtanzamo mpya wa serikali ya Tanzania Kutoka kwa Mheshimiwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Bernard Membe kuhusiana na Uraia pacha( Dual Citizenship)
Waziri Membe alisema hayo wakati wa mkutano wa Diaspora uliofanyika hapa Ukerewe 26-27 March 2010.
0 comments:
Post a Comment