BLOGGER TEMPLATES - TWITTER BACKGROUNDS »

Welcome - Karibu

Wedding Photography and Video

Wednesday 6 April 2011

Mji wa Aschaffenburg,Ujerumani kufungua msimu kwa AFRIKA FEST



Mji wa Aschaffenburg,Ujerumani kufungua msimu kwa AFRIKA FEST

Wakazi wa mji wa Aschaffenburg,nchini Ujerumani wanatarajia kufungua msimu wa siku za joto kwa sherehe za AFRIKA FEST, mjini Aschaffenburg,huko nchini ujerumani aka Ujeuri man.
Shamra shamra hizo za asiye na mwana abebe jiwe ,zinatarijiwa kuanza siku ya tarehe14 April hadi
16 April 2011,ambapo kutakuwa na maonyesho mbali mbali ya sanaa,mziki na utamaduni kwa ujumla.
Na bendera ya Tanzania piga ua inawakilishwa na Dj maarufu "Mfundo pita"ambaye mwaka jana tu
alitajwa na redio mabali mbali nchini ujerumani kuwa ni DJ "Mkali wa midundo" ya World beat.
Mji wa Aschaffenburg,nchini Ujerumani mwaka huu 2011 ndio mji wa mwanzo kufungua dimba
la sherehe za msimu wa joto nchini humo,sherehe hizo zinatarajiwa kuudhuriwa na maelfu ya
wa watu kutoka kila kona ya ujerumani,

Mnakaribishwa wote..
kwa maelezo zaidi wasiliana simu +49(0)1733779720 au ndani ya ujerumani pia 01733779720

0 comments:

Search This Blog