BLOGGER TEMPLATES - TWITTER BACKGROUNDS »

Welcome - Karibu

Wedding Photography and Video

Saturday 17 April 2010

Elizabeth Taylor Achumbiwa




Dame Elizabeth Taylor ataolewa kwa mara ya nane katika kumbukumbu za maishani mwake.


Habari zinasema kwamba muigizaji huyo maarufu wa tamthilia asiyepungu chini ya umri wa miaka 78 na mpenzi wake wa siku nyingi Jason Winter mwenye umri wa miaka 49 hivi karibuni walikula kiapo cha kuwa pamoja.


Marafiki wa karibu wanasema kuwa "Hakuna kitu cha kuficha wamekuwa pamoja milele na wanapendana... Hivi sasa waimarisha mapenzi yao"


Taylor hivi karibuni alizungumza kwa wazi kuhusiana na jinsi gani anavyompenda Winters, ambaye muda si mrefu tangu awe mkurugenzi wa Janet Jackson's.


Taylor alisema bila kuficha kuwa Jason Winters "Ni mmmoja kati ya wanaume wa ajabu aliowapata kuwajua"

0 comments:

Search This Blog