Kwaniaba ya familia Alhaji Hussein Nandule napenda kutoa pole kwa familia ya Nassor Bin Jabry kwa kuondokewa na kipenzi chao Marehemu Seif Nassor aliyezikwa leo tarehe 13 mwezi wa April katika makaburi ya kisutu. Marehemu alifariki usiku wa jana. Mola amuweke pahala pema peponi. AMIN
Tuesday 13 April 2010
Marehemu Seifu Nassor
Posted by Ally Muhdin at 19:54
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment