TANGAZO KWA WANA-LONDON
Viongozi wa muda wa Jumuiya ya watanzania London inawaomba watanzania wote waishio London kuhudhuria mkutano wa wana-London utakaofanyika ubalozini siku ya jumamosi tarehe 24-April-10 kuanzia saa 1100 asubuhi. Mkutano huu unategemea kuongelea maswala ya chaguzi wa viongozi na muundo mzima wa jumiya ya London.
Uchaguzi wa viongozi wa London unategemewa kufanyika tarehe 01-May-10. Mawazo yako ni mchango mkubwa kwa jumuiya na kama unazo sifa za uongozi na ari ya kuendeleza jumuiya mlango uko wazi kwa kila mmoja.
0 comments:
Post a Comment