BLOGGER TEMPLATES - TWITTER BACKGROUNDS »

Welcome - Karibu

Wedding Photography and Video

Wednesday 12 January 2011

50 Cent & Gamu Nhengu



Mwanamuziki wa kizazi kipya 50 cent inasemekana amewekeana mkataba na Gamu Nhengu ambaye alishindwa kuendelea katika mashindano ya X-factor.

Gamu Nhengu atajulikana kwa jina la Miss Gamuchirai katika kampuni ya G-Note records inayomilikiwa na 50 Cent.

Miss Gamuchirai atajihusisha na muziki wa Pop and RnB ingawa G-Note records inajihusisha sana na muziki wa Hip Hop.

Ingawa kampuni nyingi zilijitokeza kuingia mkataba na Miss Gamuchirai, lakini Miss Gamuchirai amekubali kuingia mkataba na G-Note records kutokana na manufaa ya mkataba kwa mwanamuziki huyo.

Source: Ally Muhdin

0 comments:

Search This Blog